Wachache ambao wana penda series na movies watatuelewa, so tulikua hapa tukijaribu kuwaza na kuwazua nini cha kuvaa swahili fashion week,… wanapo sema sikiliza maneno na si vitendo hivi ndivyo wanavyo maanishaga, tuna weza tuka wapa ushauri mtafute nguo mapema kabla ya siku ya event ila sisi wenyewe ni wachelewaji wa kubwa wa kujua tuna vaa nini. Enough with the blah blah’s hiyo ni matangazo kabla ya habari anyways wakati tuna endelea ku figure out nini cha kuvaa moja kwa moja ikatujia taswila ya Sarah Parker au Carrie Bradshaw kama livyo cheza katika sinema hio
tume penda kila kitu kuhusu huu mtoko, miwani, viatu, the white dress hatuna uhakika na cheni lakini its Carrie being Carrie
tunaikumbuka hii scene like yesterday, hii nguo Aidan mchumba wa Carrie alimwambia aitupe lakini haikuitupa na wakati wame achana akaiona kwenye kabati akaitinga “girl power”
pale Carrie alipo amua kurudi utoto
Hatujui hata kavaa cheni ngapi na nini kili mu inspire ila amependeza
Carrie be sexing… kama isinge kuwa kitambi basi swahili wange tutambua na hizo crop tops
well Carrie alikua na zile siku ambazo hujisikii ku dress up kabisa lakini una miahadi- swahili we are coming
the polka dot game
huu muonekano hatuja wahi kuuelewa like Carrie kafunga tumbo na mkanda na si skirt? kwanini? but hey Its Carrie
skater
nguo ngapi ame vaa na ame pull out vipi hii outfit?
The slip high game is strong na hivi ni trend kwa sasa we might go with this
bandage always a good choice kama hutaki too much drama
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…