Tukiwa tunaongelea wakongwe au mama katika mitindo basi huwezi kumuacha bi Asya Idarous Khamsin Asya amekua kwenye ulimwengu wa mitindo kwa zaidi ya miaka kumi, Asya ni mhasisi wa Tamasha la Lady In Red ambalo mwaka huu linafanyika kesho (9.12.2018) na katika onyesho hili Asya ana staafu kuandaa tamasha na Lady in Lady na kuwaachia Tamasha la Lady In Red wengine mwenyewe anasema vijana, we applaud you Asya kwa uamuzi huu ni kweli tunahitaji watu wapya katika matamasha mbalimbali fresh ideas na well tunasema asante kwakua mhasisi wa mitindo tunaweza kusema bila nyinyi tusingekuwa sisi.
Kwa kumuaga Asya tuna throwback na collection yake aliyo ishowcase mwaka 2014 katika tamasha la Swahili Fashion Week,
Ilikua ni collection ya Khanga iliyo shonwa na kubuniwa vizuri kabisa.
Tamasha la kumuaga Asya Khamsin litafanyika King Solomon Hall kesho
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/throwing-back-with-asya-khamsin-2014-sfw-collection/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/throwing-back-with-asya-khamsin-2014-sfw-collection/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 75281 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/throwing-back-with-asya-khamsin-2014-sfw-collection/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/throwing-back-with-asya-khamsin-2014-sfw-collection/ […]