Timberland boots zilikuwa founded mwaka 1973 na Nathan Swartz,kutokana na durability ya viatu hivi vilianza kujulikana na kuvaliwa na constructions workers, lumberjacks na wafanyakazi wa kazi nyingine ambazo zinahitajika viatu vigumu.
Miaka ya 80 na 90 vikaanza kuvaliwa na watu wa kawaida na hii ilitokana na kuonekana kuvaliwa sana na wanamuziki wa hiphop, kuanzai hapo timb’s zikawa zinavaliwa sehemu mbalimbali na wanawake pamoja na wanaume, lakini kwa miaka kadhaa vilitoka kwenye trend na ikiwa miaka hii style za miaka ya 80 na 90 zimerudi basi na zenyewe zinaonekana kurudi kwa kasi.
Tumewaona watu maarufu mbalimbali kutoka Tanzania wakiwa wamevalia tend hii kwa wanawake tumewaona Maua Sama na Frida Amani,ambao wao walizi-style sexy kidogo Maua akiwa amevalia viatu hivi na mini skirt huku Frida akiwa amevalia na biker shorts.

Wengine ambao tumewaona ni pamoja na Nandy na Irene ambao wao walikuwa in tom boyish style, Nandy akiwa amevalia denim on denim look wakati Irene yeye akiwa amevalia oversized denim jeans, jersey na viatu hivi.

Kwa wanaume ambao tumewaona ni Diamond Platnumz, Marioo pamoja na Rayvanny

Well sisi moja kati ya wale ambao tupo excited na trend hii tuambie wewe umependa trend hii kurudi au lah?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…