SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

TIMIZA NDOTO YAKO YA KUWA MBUNIFU (sehemu ya pili)
Mitindo

TIMIZA NDOTO YAKO YA KUWA MBUNIFU (sehemu ya pili) 

FANYA MAAMUZI NI MITINDO IPI UNA TAKA KUIFANYA

670px-Become-a-Fashion-Designer-Step-3-Version-2

1)Chagua ubunifu upi ndio chaguo lako kuu: inahitajika uanzie chini lakini pia unahitaji lengo katika akili yako kujua ni aina ipi ya ubunifu unao taka kuufanya na unao uweza kuufanya maisha yako yote. Je una weza kufanya ubunifu wa asili, wa kisasa, tayari kuvaliwa au nguo za mazoezi? Zote zina faida na hasara ina hitaji kuchukua muda kufikiri kabla ya kuchagua ni nia ipi uifuate. Katika mlolongo huu wa uchaguzi ina bidi utembelee maeneo madogo au vipengele vidogo katika ubunifu hii itafanya akili yako itanuke na kujua kipi hasa unataka kukifanya, utapata mawazo mapya au kuyaongezea yale ya zamani.

  • Maeneo ambayo inabidi huya fuatilie ni kama:
  • Nguo za wanawake kuvaa mchana/usiku
  • Nguo za kiume za kuvaa mchana/usiku
  • Nguo za vijana wa kike au wa kiume
  • Nguo za michezo/mazoezi
  • Nguo za maharusi
  • Urembo
  • Mavazi ya filamu au matangazo

2)panga baadhi ya vipengele muhimu

670px-Become-a-Fashion-Designer-Step-4-Version-2

2)Panga baadhi ya vipengele muhimu: Nguvu yako ipo upande gani katika kubuni? Labda wewe ni mzuri katika kubuni urembo au mavazi ya michezo. Uwezo wako na mapenzi yako ni mambo muhimu ndani ya  nngwe ya kwanza ya ubunifu, na cha pili ni kulinganisha nini una fanya na kipi kilichopo sokoni? Je kilichopo sokoni na chako vina tofauti gani? Na nini wana hitaji wanunuzi?

ITAENDELEA…..

Related posts

2 Comments

  1. สล็อตเว็บนอก

    … [Trackback]

    […] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/timiza-ndoto-yako-ya-kuwa-mbunifu-sehemu-ya-pili/ […]

  2. Asbestos Abatement Clear Lake

    … [Trackback]

    […] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/timiza-ndoto-yako-ya-kuwa-mbunifu-sehemu-ya-pili/ […]

Leave a Reply