Wengi tuna ndoto za kuwa wabunifu lakini ni wachache wanao pata nafasi ya kutimiza ndoto zao, na hii ina tokana na kukata tamaa, kujiona huna uwezo mkubwa katika kile unacho taka kukifanya au kukosa vitu ambavyo vinakamilisha mtu kuwa mbunifu. Ni rahisi kupata wazo la kubuni lakini ni vigumu kuliweka wazo hilo katika uhalisia, hasa kama huna uwezo wa kushona au kuchora. Ili uwe mbunifu mzuri unahitajika kuwa na muunganiko wa kujua kuchora,kushona na pia ujuzi wa kubuni, maarifa kuhusu sekta ya ubunifu na uvumilivu.
MAWAZO MACHACHE YANAYO WEZA KUKUSAIDIA KUFIKISHA LENGO LAKO:
SEHEMU YA KWANZA: NOA UWEZO WAKO WA UBUNIFU KATIKA MITINDO
KUZA UJUZI WAKO. Wabunifu wote wa Mitindo walio enedela wana safu pana katika ujuzi,kuweza kushona vitambaa vigumu katika hali ngumu itaweza kukufanya uwe katika mbadala bora katika kipindi chote cha kazi yako lakini unahitaji kufanyia kazi ni ujuzi ambao hauji ki rahisi kwa watu wengi.
- Unatakiwe uwe na ulewa wa Vitambaa jinsi vinavyo kuwa vikivaliwa, Ujuzi wako mkubwa wakujua tabia ya vitambaa ni muhimu sana katika kubuni, pia kujua chanzo cha kupata matirio.
- Jifunze kutoka kwa wabunifu wakongwe sio kuhusu wao bali kuhusu asili yao,Jua saini yao katika mitindo jifunze wamepitia nini,wapi wamesoma. Kujua hili litakusaidia kupata mwanga na kujifunza kutokana na makosa yao hii itakuwezesha wewe kuwa mbunifu bora Zaidi kwa kua utaweza kuazima na kukuza mawazo yao Zaidi.
- Fanya utafiti kuhusu nini kipo kwenye kiki kwa wakati huo kupitia vyombo vya habari, kwenda kufanya manunuzi dukani na maonyesho ya biashara.
- Anza kukuza huu ujuzi katika umri mdogo, andaa muda wa kujishughulisha kufanya bidhaa zako kuwa bora.
b)Jifunze Zaidi: kama unaweza itakua vizuri Zaidi kama utapata shahada ama stashahada katika ya Ubunifu wa mitindo, utapata mafunzo mauri ambayo yatakusaidia hasa kwa sababu utakua na watu ambao wana lengo moja na wewe,
- Pata degree ya mitindo mara nyingi huwa kati ya miaka mitatu hadi minnw, uta jifunza kuchora, rangi na kujifunza wa vitendo. Utajifunza kutoka kwa watu wente ujuzi Zaidi ambao wanaweza kukushauri na kukusaidia mbeleni.
- Omba kazi ya kujitolea au kushirikiana katika makampuni ya Mitindo hii itakusaidia kukuza uwezo wako na kukupa mwanga wa nini utaenda kukutana nacho katika dunia ya kawaida tofauti na shule.
ITAENDELEA……
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/timiza-ndoto-yako-ya-kuwa-mbunifu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/timiza-ndoto-yako-ya-kuwa-mbunifu/ […]