Siku tano za week wewe ni suits, pencil skirts, official shirts etc yaani unakuwa unavaa official kuna wengine huwa tunasahau hata kuvaa casual ukiwa nyumbani au unataka kutoka weekend unawaza mara tatu tatu nini uvae, maana umeshazoea kuwa official. Hizi siku mbili ni za wewe kujiachia kuwa normal & free from office stress. hizi ni tips chache za nini uvae weekend
Denim/Jeans – hapa ni denim chochote, min skirt, pant, trouser,denim coat etc as long as ni denim ni chaguo zuri kuvaa weekend inakupa ile perfect casual & chic style kizuri kuhusu denim ni unaweza kuvaa na chochote iwe crop tops, shirts, t-shirt au blouse unaweza kupair na heels au flats ukamalizia na simple accessories unapata ile casual yet stylish look.
Oversize Button Down Shirt – hii kila mmoja wetu ana paswa kuwa nayo ni multi purpose inaweza kutumiaka ofisini na casual pia unaweza kuivaa yenyewe peke yake for the weekend lakini pia unaweza kupair na ripped jeans, skin jeans au pants inategemea na chaguo lako
T-shirt na Jeans – you can never go wrong with tshirt na jeans, make it chic kwa kuongezea accessories kama statement chain, earings au rings beba na a clutch umemaliza
Dinner outfit ideas – hahitaji kuwa extra unaweza ku dress up a little bit, two pieces outfit, blazer & jeans etc
Images For The courtes of our own Tanzania Fashionistas @lavidoz, @swalhamsabaha @officialagness1, @officialelizabethmichael @lehautestyles @j.n.mengi
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tips-on-how-to-dress-up-for-the-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 43195 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tips-on-how-to-dress-up-for-the-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tips-on-how-to-dress-up-for-the-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 67698 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tips-on-how-to-dress-up-for-the-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 7593 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tips-on-how-to-dress-up-for-the-weekend/ […]