Utunzaji wa jeans ama cadet kwa wakak wengi umekuwa ni ngumu na hivyo kupelekea jeans nyingi kupauka na kuchakaa mapema. Well, leo tunawapa tips mbalimabli mabazo zitasaidia katika utunzaji wajeans yako nakuweza kudumu kwa muda mrefu bila kuapuka ama kuchakaa mapema. Dondoo hizi zahusika pale uanpofua, unapoianika, unaopoinyoosha na hata upangaji wake kabatini.
- Cha kwanza utakapo kuifua jeans yako hakikisha unaangalia tag iliyopo nyuma ya jeans kiunoni. Hii husaidia kujua masharti yaliyowekewa katika nguo yako juu ya ufuaji, uanikaji na unyooshaji wake
- Katika ufuaji, hakiisha hauifua mara kwa mara na ufuapo, usiipekeche sana maana hii huikunja na kuichakaza kiurahisi. Umalizapo, ianike katika upepo na sio juani iweze kukauka kwa upepo.
- Pia mbadala katika ufuaji, waweza iloweka jeans yako karoka vinegar na kuiacha kwa lisaa limoja. Baaada ya hapa waweza isuuza na kuianika ikaushwe na upepo na sio juani. Kuhusu kuhofia harufu ya vinegar, huisha pindi pale unapoianika hivyo si jamno la kuhofia sana
- Uianikapo hakikisha imenyooka ili kuepushan juipa mikunjom isiyo ya lazima. Hii itasaidia kufabya jeans yakom idumu kwa muda bila kuchakaa kiurahisi.
- Na unapo inyoosha, yashauriwa utumie moto wa pasi wa wastani na sio mkali sana maana moto mkali sana ndio utaifanya kuchoka mapema.
- Na uivaapo, kuwa mstaarabu nan kutodondoshea vitu maana madoa huchakaza. Ila pindiv upatapo doa baada ya kudodndoshea iwe chakula ama wino waweza futa eneo husika kwa tauko taratibu huku ukitumia vinegar ama baking soda iliyochanganywa na maji ya baridi.
- Ukiweza kuwa na access ya dry cleaner itapendeza zaidi laikini kwa wengim twajua nguo zetu twafua kwa mkono hivyo kwa kuzingatia tips tajwa hapo juu utaweza fabnya jeans zako kudumu kwa muda
- Pia unadhifu katika kabati lako muhimu. Kama watunza sandukuni basi ikunje vizuri, kama ni kabarini kwa kukunja basi napo kuwa msafi ila kama una hangers, hakikisha umeining’iniza vizueim kabatini
Imeandikwa na @willibard_jr
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 57536 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tips-za-kufanya-jeans-zako-zisipauke/ […]