Kesho ndio imefika na nsio siku ambayo Tanzania itampata mrembo wake ambae ataenda kutuwakilisha China katika mashindano ya Miss World, wengi watahudhuria kushuhudia nani atamvua taji Bi Diana Flave? tukaona tuwape tips chache za kujua wakati unachagua vazi la ku-attend nalo katika zuria jekundu la hafla hii
- Classy
Kama umeshawahi kuyaangalia mashindano haya utakuwa unajua kwamba ni event fulani imetulia haina makelele mengi so cocktail dresses au evening dresses zinafaa sana hapa huitaji kuwa extra au too exposed be in one classy outfit.
- Simplicity
Less is more people, sio vibaya kama ukienda extra ila nenda extra na upendeze but if you think utakuwa kwenye list ya waliozidisha chumvi just take a step back & slay on the simplicity zone.
- Fashionable
be as fashionable as you can hata kama ukiwa in a simple outfit jaribu kuifanya ionekane fashionable ongezea extra touch’s ambazo zitainua muonekano wako kutoka sehemu moja kwenda nyingine ( think outside the box)
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…