Kesho ndio imefika na nsio siku ambayo Tanzania itampata mrembo wake ambae ataenda kutuwakilisha China katika mashindano ya Miss World, wengi watahudhuria kushuhudia nani atamvua taji Bi Diana Flave? tukaona tuwape tips chache za kujua wakati unachagua vazi la ku-attend nalo katika zuria jekundu la hafla hii
- Classy
Kama umeshawahi kuyaangalia mashindano haya utakuwa unajua kwamba ni event fulani imetulia haina makelele mengi so cocktail dresses au evening dresses zinafaa sana hapa huitaji kuwa extra au too exposed be in one classy outfit.
- Simplicity
Less is more people, sio vibaya kama ukienda extra ila nenda extra na upendeze but if you think utakuwa kwenye list ya waliozidisha chumvi just take a step back & slay on the simplicity zone.
- Fashionable
be as fashionable as you can hata kama ukiwa in a simple outfit jaribu kuifanya ionekane fashionable ongezea extra touch’s ambazo zitainua muonekano wako kutoka sehemu moja kwenda nyingine ( think outside the box)
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tips-za-kujua-wakati-uwachagua-vazi-la-kuvaa-katika-red-carpet-ya-miss-tanzania-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tips-za-kujua-wakati-uwachagua-vazi-la-kuvaa-katika-red-carpet-ya-miss-tanzania-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tips-za-kujua-wakati-uwachagua-vazi-la-kuvaa-katika-red-carpet-ya-miss-tanzania-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 5195 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tips-za-kujua-wakati-uwachagua-vazi-la-kuvaa-katika-red-carpet-ya-miss-tanzania-2018/ […]