Linapokuja suala la kuvaa ikiwa maziwa yako ni makubwa, jambo kuu ni kupata mitindo inayopendeza figure yako.
zingatia haya kama maziwa yako ni makubwa.
- Vaa Bra inayokutosha,
hii inasaidia na ni muhimu sana pia pimwa na mtaalamu ili kubaini ukubwa wa sidiria yako, bra ya kuunga mkono hii itainua na kutengeneza kifua chako na kuunda silhouette ya usawa zaidi.

- Chagua vitambaa vinavyofaa.
Mfano vitambaa vinavyoning’inia vizuri kwenye mikunjo bila kujirundika, vitambaa kama chiffon au jezi vinaweza kukupendezesha. Epuka vitambaa vizito ambavyo vitajirundika kwenye kifua chako.
- Chagua V-necklines
hizi zinaunda muonekano mzuri kuelekea chini na kurefusha kiwiliwili pia hupunguza ule muonekano wa maziwa makubwa.

- Vaa nguo za kushona,
kama unapata tabu kununua nguo zinazokutosha vizuri jaribu kushona nguo hapa itakusaidia kupata ile size na muonekano unaotaka maana unaposhona unaamua nguo ikukae vipi tofauti na kununua.
- Sawazisha Silhouette yako,
oanisha sehemu za juu za mwili na za chini ziwe sawa. Mfano sketi za mistari, suruali pana au jeans ya bootcut inasaidia kuunda silhouette ya uwiano zaidi.

- Kumbuka kuvaa kitu kinachokufanya uwe comfortable na mwenye ujasiri pia,
usivae nguo inakubana sana pia usivae nguo kubwa sana itabadili muonekano wa mwili wako, let this be your starting point but personal style and preferences should always take precedence
Imeandikwa na @this_is_lydia._
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…