Tiwa Savage ana julikana na style zake, huyu dada anapenda sana kuvaa designer staffs japo tungependa akijikita zaidi kuvaa designer kutoka Nigeria lakini si mbaya pia anavyo vaa vya nje well tumesha muona akiwa amevaa wabunifu wakubwa mbalimbali wakiwepo Gucci, Versace na wengine wengi leo tumemuona kaingia katika team Fendi ambapo alivaa full outfit kutoka kwa mbunifu huyo including viatu.
Viatu vilituvutia ikabidi tuvitafute vinauzwa Euro 790 ambapo ni sawa na tzs 2,195,727.57/- katika website ya Fendi na vinaitwa “Multicolour technical mesh slingbacks”
Tiwa alivaa viatu hivi in full fendi outfit ambapo alivaa a fendi top, black leather pants na Fendi leggins
Kama umevipenda viatu vya Tiwa unaweza kuvishop hapa fendi.com
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tiwa-savage-akiwa-amevaa-fendi-multicolor-slingbacks-zenye-thamani-ya-2195727-57/ […]