Mwanadada Toke Makinwa ni Nigerian radio personality, television host, vlogger, lifestyle entrepreneur na author, Ukiachana na hivyovyote Toke ni slayer. Mara zote ukimuona na outfit zake hayupo boring anajua namna ya kujipangilia.
kwa sasa amezindua bidhaa yake ya scarf’s na amekuwa aki-post mavazi yake akiwa amevalia na scarf yake na tukaona tuwaletee namna ambavyo na wewe unaweza kuongezea scarf yako katika outfit yako na ukapendeza ( Sio tu kuvaa kama kiremba)
- Upgrade your handbag
Hii trick fashionista wengi wanaitumia, linapokuja swala la kuweka mionekano yao kuwa ya tofauti wanapobeba pochi wanazungushia scarf kwenye mkono wa pochi. Kuna namna mbalimbali unaweza kuzungushia kulingana na wewe na matakwa yako. Hapa Toke amezungushia mkono mzima huku sehemu kubwa ikiwa kaachia imening’inia and this is how ametoa a all white outfit with yellow touch’s from regular to bomb

2. Vaa shingoni
Sometimes unahitaji kupumzika na all the jewelries, kuweka utofauti unaweza kutumia scarf kuvaa shingoni kama cheni au tunaweza kusema kama tai, again unaweza kuifunga namna mbalimbali, Toke yeye aliamua kuinin’giniza tu in a simple way, tumependa namna amematch rangi za mavazi yake na scarf imefanya the outfit iwe putted together

3. Kichwani
Hi ni namna ambayo wengi wetu tunajua kufunga hapa Toke ametuonyesha namna 3 ambazo unaweza kuivaa scarf yako kichwani, kuna chic, casual na extra
Well #afromates next time unataka au unahisi kunakitu kime-miss kwenye muonekano wako, unaweza kuu-upgrade kwa kutumia scarf. Let us know style ipi imekupendeza zaidi kati ya hizo ambazo toke amezifanya?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-alivyotumia-scarf-ku-upgrade-outfit-zake/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-alivyotumia-scarf-ku-upgrade-outfit-zake/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-alivyotumia-scarf-ku-upgrade-outfit-zake/ […]