Katika fashionista’s kumi kutoka Africa basi huwezi kuacha kutaja jina la Toke Makinwa, yeye ni media personality kutoka Nigeria ambae anaipeperusha bendera ya Nchi hio vyema kabisa katika mitindo. Toke ni moja ya wale fashionista’s ambao they usual don’t do fake zone. Ni moja kati ya fashionista’s wao own designer staff’s nyingi zikiwa za aina tofauti tofauti.
Leo tunaongelea kuhusu viatu hivi vya prada ambavyo anavimiliki pair tatu na pair moja inauzwa USD 1,365/- sawa na shilingi 3,135,423 kwa moja na shilingi 9,460,269 kwa pair zote tatu “talking about investments”
Anamiliki pair hizi za viatu zikiwa na rangi ya pink ambayo tumemuona akiwa amevalia na shirt dress nyeupe, akiwa amemalizia handbag ambayo ni bidhaa yake ya TM (Toke Makinwa Handbag) amemalizia muonekano wake na saa ya pink ame match na viatu na gold accessories
Hapa akiwa amevaa pair nyingine ya viatu hivi yenye rangi nyeupe na pink, hapa ameivalia na skin jeans na crop top nyeupe huku akiwa na gold accessories
Na hapa akiwa amevalia pair hii ya viatu ya rangi ya gold na nyeusi, amevalia na hii off shoulder top, skin jeans akiwa amemalizia na small handbag ya brown na two tones shades.
Well Afromates tuambie je hivi viatu vina worth such an investment?
Related posts
HOT TOPICS
The Hardest Part Of Being A Nigerian Bride Is To Comeup With A Bride Look That Wont Match With Any Of The Guest’s A… https://t.co/8vfNPS0IYg
FollowItaly Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…