Ukisikia rich auntie vibes ndiyo hii sasa. Wakati wengi wetu tunasema hatuwezi kununua leggins za bei ghali well Toke on the other side is saying why not?
Toke alipost hizi picha katika ukurasa wake wa Instagram akiwa amevalia leggings za kampuni ya Fendi ambazo zina thamani ya USD 1,100 ambayo ina thamani ya Tsh 2,541,000/-

Lakini sio tu leggings ambazo zilikuwa na thamani bali alibeba Jacquemus bagĀ yenye thamani ya $510 sawa na Tsh 1,178,100/ amemalizia na Valentino beltĀ ambayo inauzwa $995 sawa na Tsh 2,298,450/-
Expensive or not, Toke Makinwa is always looking gorgeous and last night was no different.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-avaa-fendi-leggings-zenye-thamani-ya-2541000/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-avaa-fendi-leggings-zenye-thamani-ya-2541000/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-avaa-fendi-leggings-zenye-thamani-ya-2541000/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-avaa-fendi-leggings-zenye-thamani-ya-2541000/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-avaa-fendi-leggings-zenye-thamani-ya-2541000/ […]