Imekuwa kawaida sasa kwa wabunifu kuwa wana copy-iana kazi zao, sikuhizi hatuiti copying bali tunasema kuwa inspired, hivi karibuni brand ya Versace imewashtaki brand ya Fashionnova kwa ku-copy hili gauni ambalo ni Iconic dress kutoka katika brand yao.
Fashionnova Yashtakiwa Na Versace Kwa Kucopy J Lo’s Iconic Jungle Print Dress
Gauni hili lilivaliwa na mwanadada Jennifer Lopez mwaka 2000 katika red carpet ya Tuzo za Grammy na ilifanikiwa kuongelewa sana kiasi ambacho mwaka jana walii-upgrade na kumtumia Jlo kuivaa katika show yao.

Well hatujui kama mwanadada kutoka Nigeria, Toke Makinwa na mbunifu Tolu Bally ( 2207bytbally ) waliisikia hii habari au wameisikia na kuamua kuipuuzia.
Jana mwanadada Toke alipost hii picha katika mtandao wake wa Instagram akiwa amevalia gauni linaloendana kama lile la J lo kutoka kwa brand ya Versace akiwa anaenda kuhudhuria katika #Anightwiththestars2019 event

Well hii ikatufanya tufikirie will Versace sue them too? na ni lini tutaacha hii tabia ya ku-copy kutoka kwa wengine? tena basi tuna-copy kila kitu mpaka fabric? ni vipi unajiita mbunifu kama unachukua ubunifu wa wengine?

Well Afromates tupe maoni yako katika hili unadhani ni sawa mbunifu ku-copy kazi ya mwenzie?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-na-mbunifu-tolu-bally-wategemee-kupelekwa-mahakamani-na-versace/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 19876 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-na-mbunifu-tolu-bally-wategemee-kupelekwa-mahakamani-na-versace/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 58564 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-na-mbunifu-tolu-bally-wategemee-kupelekwa-mahakamani-na-versace/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 19042 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/toke-makinwa-na-mbunifu-tolu-bally-wategemee-kupelekwa-mahakamani-na-versace/ […]