Inawezekana huna cha kuvaa au ni mpenzi wa kuiba nguo za ndugu zako na kuzivaa, yes kuna nguo nyingine za kuvaa kutoka kwao ukiachana na madira ya dada na t-shirt za kaka unaweza pia kuiba jeans ya mama ukavaa na kupendeza zaidi. Asilimia kubwa ya wa mama wana zile jeans suruali iwe za miaka mingi au kama mama ni wa kisasa basi lazima ata kuwa nazo japo havai mara kwa mara, unacho takiwa kufanya ni kuiba au kumuomba ukapunguza baadhi ya vitu kama kiuno na hips kama mama kakuzidi umbo na hivi ndivyo ambavyo una weza ku istyle ukatokelezea vibaya mno
nyingi huwa ni high waist sababu wamama huvalia nguo tumboni
unaweza ukavaa na crop top ukatupia na kijiblazer na viatu vyako middle heels
viatu flat pamoja na body suit pia ina pendeza kwa mitoko ya mchana na marafiki
hii unaweza ukatoka kwenda movies usiku uka match viatu na shirt
hii inaitwa muda wowote saa yoyote upo tayari kutoka yaani ni vazi ambalo halichagui muda.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tokelezea-na-jeans-ya-mama-weekend-hii/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tokelezea-na-jeans-ya-mama-weekend-hii/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tokelezea-na-jeans-ya-mama-weekend-hii/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 22448 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tokelezea-na-jeans-ya-mama-weekend-hii/ […]