Beyonce au Mrs Carter amepost picha mpya kwenye website yake na kwenye Instagram yake, ambapo muonekano wake huu mpya ni wa tofauti kidogo amevaa less makorokoro she actual looked like a normal person na sio vile ambavyo tumemzoea kuwa extra na mionekano yake. Kwetu kitu cha kwanza tulicho ki-spot kutoka katika muonekano wake huu mpya ni hizi clear shoes, tumeona vimefanya muonekano uzidi kunoga zaidi na kuonekana wa tofauti, tumependa kwamba stylist wake amechagua hivi viatu na sio pumps au open heels.
As tuliona the naked dress na see through shoes trend tunadhani hivi alivyo vaa Beyonce ni vya tofauti kidogo, viatu hivi vina Sparkly Swarovski Crystals touch’s na brand yake ni Tom Ford vinauzwa $ 1,250 sawa na kama 2,750,000/- za ki-Tanzania.
Beyonce amevaa viatu hivi mara ya pili sasa ambapo mara ya kwanza alivaa na all black outfit, bandage skirt nyeusi, lather jacket nyeusi na hizi sandals huku akimalizia muonekano wake na min pink bag
wakati kwa sasa amevaa viatu hivi na Temperley London Starling Dress ($1,195.00), off white handbag na ame accessories na statement bangles well tunadhani hii mara ya pili Beyonce ametendea haki hivi viatu amevipa the classy look they deserve.
Vilikuwa vinakuja in 3 colors ambazo ni pink, white na hivi black lakini imeonekana black na pink vimeisha na vimebaki vyeupe tupu wunaweza ku shop hapa
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tom-ford-embellished-metallic-leather-and-pvc-slingback-pumps-worn-by-beyonce/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tom-ford-embellished-metallic-leather-and-pvc-slingback-pumps-worn-by-beyonce/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tom-ford-embellished-metallic-leather-and-pvc-slingback-pumps-worn-by-beyonce/ […]