Mbunifu Tom Ford ameshow case collection yake ya mavazi katika run way ya New York Fashion Week 2018, katika collection hii Tom Ford ametumia fabrics kama snake skin prints na silk, tumeipenda hii collection as ime gusa kila kitu ambacho wanaume wanaweza kuvaa lakini hakukuwa na design nyingi za mavazi ya fabric hizi.
Tukianza na snake skin print ni mara chache kuona wanaume wamevaa prints mara nyingi wanapenda kuvaa plain,plaid au stripes fabric yeye kuongeza na kuonyesha namna gani mwanaume anaweza kuvaa hizi print bila kuonekana vibaya imetuvutia sana, ametengeneza shirts, suruali, tai na viatu.
The suits (silk) – ukiongelea upande wa suit zilikua za silk na rangi ni neutral color, japo kulikua na pink na yellow ndani yake, we love the shine coats katika upande wa wanaume ni rare sana kukuta wamebuniwa hizi sequin coat’s we can say Tom Ford came for all that men didn’t have.
Lakini pia plaids na stripes suits hazikuachwa nyuma
Tom Ford alionyesha pia nguo za ndani za silk lakini pia kulikua na accessories kama glasses na saa.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tom-fords-fall-winter-18-mens-wear-collection/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tom-fords-fall-winter-18-mens-wear-collection/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tom-fords-fall-winter-18-mens-wear-collection/ […]