Tumesha ona wanaume walio pendeza zaidi mwaka huu, walio haribu na wanawake walio haribu leo tuna waletea wale walio tisha zaidi katika swala zima la mitindo mwaka huu. we love us some of these women
1) Elizabeth Micheal, Yah huyu ame slay the entire year na haja kosea hata siku moja, kuanzia mpangilio wa nguo, viatu, make up, nywele Lulu Is A 2016 Slayer Diva. Tunataka kuona mengine mengi 2017 mama keep on slaying
2) Jokate Mwegelo, Jokate ame ufanya huu mwaka uwe very interesting na mitindo yake ya kipekee. Mara nguo zilizo buniwa na rasta mara nyuzi ili mradi tu katupa radha tofauti na kujaribu kuwa wa tofauti una weza kumuita Tanzanian own Rihanna she is a dare and we love her for that. Keep Doing what you doing JOJO
3) Hamisa Mobetto, Mama na mtoto wa mama mmoja hajawa nyuma kutuma some pieces of her. Missa ame pendeza mwaka huu wote.. ame kuwa akiongelewa sana na mitindo yake na style zake kila alipo enda alikuwa ame pendeza na kupatia kuvaa kutokana na alipo kama casual casual kama corporate au chic pia huwa ana vaa vitenge & trust us vina mtoa kupita maelezo. & she is our body goals
4) Lavidoz ni fashion blogger na stylist, nae pia ame tisha mwaka huu na mitindo yake pia alikuwa featured na blog kubwa ya mitindo huko marekani iitwayo Fashion Bomb Blog ame tisha sana mwaka huu neat, chic & classy
5) Swalha Msabaha, swalha yeye ni stylist tume mpenda mwaka huu alikua chic,classy na corporate pia ana penda neutral color kama wewe si mpenzi wa rangi za ajabu ajabu Swalha ndio jibu lako
6) J.N.Mengi Jacqueline Ntuyabaliwe ame u own huu mwaka, mama wa mapacha ame ufanyika mwaka 2016 justice ametoka nje ya box & we love her for that, kuanzia nywele, bags, viatu etc tumependa pia haja jiweka kimama sana wala ki sichana sana suits her right
7)Mwamvita Makamba, huyu dada huu mwaka ame slay ajabu yaani kuanzia miguuni mpaka kichwani we loved us some mwamvita 2016
8) Genevieve huyu alikuwa miss Tanzania 2010 ame pata namba ya ku slayer mwaka huu
9)Millen Magesse, Millen she doesn’t play when it comes to fashion na ku pull out a outfit, Millen has it all ana vaa kila kitu jeans, mini skirt,short pants yaani yeye ni fashion lover hachagui kama wewe ni chochote twende mtafute dada Millen Maggese Instagram ili upate ideas na tips
10) Faraja Nyarandu, She always keep it simple yet stylish kama wewe ni mdada wa corporate na una taka kupata some tips jinsi ya kuwa stylish nenda kwa Faraja she got it all. Faraja ana vaa kidada yani iwe casual, party au ofisini utampenda
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…