When we thought its over kumbe its just getting started, siki chache zilizo pita tuliandikia kuhusu fashion za jeans zilizo tuacha mdomo wazi well top shop wamekuja na hii nyingine ambayo ni suruali ya plastic wenyewe wameeita jeans ila is it real a jeans? maana ni plastic tupu au by jeans walimaanisha suruali may be.
Suruali hii inauzwa Eur 55 sawa na tzs 134089.74, ni nzuri lakini kwa Nchi zenye baridi kwa hapa kwetu una weza kuyeyuka (plastic & jua) haviendani well wengine wana sema its all about creativeness na wengine wana sema ni trash je wewe msomaji wetu una semaje?
Tuambie kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
au email us – afroswagga69@gmail.com
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 97929 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/top-shop-wamekuja-na-moto-clear-plastic-straight-leg-jeans/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 58246 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/top-shop-wamekuja-na-moto-clear-plastic-straight-leg-jeans/ […]