Kama ni mpenzi wa handbag ndogo hii itakufaa sana lakini hata kama si mpenzi hii bag ni must have kuna sehemu ambazo unaenda una hitaji kijibag fulani kadogo cha kuweka vitu muhimu tu kama simu, wet wipes, pesa vitambulisho na makeup, hii haihitaji handbag kuubwa kama unaenda clinic (excuse us) katika pita pita zetu tumekutana na hii bag ambayo karibu kila fashion blogger au fashionista anayo na tukasema hii itakuwa habari mpya mjini
Ni bag ndogo inayo patikana kwa material tofauti tofauti kama lather, suede, au velvet
Fashionista Doopie akiwa ameibeba kwa rangi nyekundu
Jadore anayo nyeusi ambayo anaipenda sana
Gabriela Union akiwa amebeba ya kwake ya rangi ya cream
baadhi ya fashionistas wengine wakiwa wameibeba
kipo simple stylish & elegant unaweza kubeba popote kazini, kwenye fashion shows au meetings unaweza kununua hapa kina bei tofauti tofauti kutokana na material lakini pia kuna miundo mengine kusoma kingine kinacho trend ingia hapa na hapa
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-bloggers-love-m2-malletier-bag/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-bloggers-love-m2-malletier-bag/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 50358 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-bloggers-love-m2-malletier-bag/ […]