Braids zipo miaka mingi, na tumekuwa tukisukiwa toka tukiwa watoto. kuna aina mbali mbali za kusuka rasta, kuna vitunguu,kusokota, njia tatu, yoboyebo zipo nyingi nyingi kupita kiasi ni wewe na mapenzi yako. Lakini mara nyingi huwa tunatumia rangi tatu au mbili kusukia nyeusi, brown au blonde kwa sasa inaonekana colorful braids zinarudi, yes mnakumbuka enzi za Da Brat? alikuwa aki tuinspire na aina za rasta za rangi mbalimbali na sasa trend hio imerudi watu maarufu mbalimbali wameonekana kusukia style hii
Alicia Keys yeye ameonekana kupenda hii style mara ya kwanza alisukia yellowish/orange na pink braids
sasa hivi amesukia hizi pink & blue braids
Lakini pia tumewaona watu maarufu wengine kama Chanel Iman
Justine Skye yeye alimua kusukia purple braids
katika pita pita zetu katika page za hair style tumekutana na watu mbalimbali ambao wamesukia trend hii na hizi ndizo zilizo tuvutia zaidi
lxndxox yeye aliamua kusuka bob style na rasta za orange
jah.cherise yeye amesukia rasta ndefu za njano
kwetu tumependa style as inafanya uonekane wa tofauti.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-colorful-braids/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-colorful-braids/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-colorful-braids/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-colorful-braids/ […]