Kitenge kinaonekana kukua siku hadi siku tumeona mbunifu mkubwa Stella McCartney akitumia print za kitenge katika collection yake mpya, kwetu Africa tumeshazoea kuona kitenge kwenye majukwaa ya mitindo ni print kubwa sana kwetu (kitenge na khanga), Kwa sasa hivi kinaonekana kuanza kutambulika Duniani na pia kimeonekana kutokuchukuliwa kawaida, kwa maana zamani watu maarufu Africa kitenge ilikua choice yao ya mwisho. Kuelekea mwishoni mwa mwaka imeoneka print hii inarudi kwa kasi tunaona watu maarufu mbalimbali Africa wakivaa kitenge hasa wanaume.
Alianza mwanamuziki Wizkid Ayo ambapo alivaa full kitenge kwenye video yake ya One Dance aliyo mshirikisha msanii Drake,
Tukaja kumuona mani kutoka Tanzania Dogo Jaja ambae mwenyewe amekiri kuwa Inspired na Wiz Kid akiwa amevalia Full kitenge outfit
Kama trend haikuisha hapa tukamuona Diamond Platinum,ambae kwa sasa anavaa sana hizi prints alizivaa kwenye birthday yake lakini pia amezivaa katika tuzo za Afrimma ,
Tumemuona pia msanii Hemedy Phd akiwa amevaa full kitenge outfit yaani suruali na shirt jana akiwa ameattend Sziff kutoka Sinema Zetu
Na leo tumemuona msanii Shetta kutoka Ilala akiwa amevaa full kitenge outfit kutoka kwa mbunifu Mgombelwa
Kwetu tunaona ni kitu kizuri kutangaza vya kwetu lakini pia tunahitaji ubunifu zaidi sio kila mbunifu anafanya kitu hiko hiko kimoja na pia kama utataka kuvaa trend hii inabidi uwemuangalifu na uchaguzi wako wa kitenge, vitenge vingine vinakuwa too much na vingine vinafanya mtoko uonekane mchafu.
Tumbie iwaki unaionaje trend hii?
Related posts
7 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-full-kitenge-outfit-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-full-kitenge-outfit-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-full-kitenge-outfit-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 49444 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-full-kitenge-outfit-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-full-kitenge-outfit-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-full-kitenge-outfit-for-men/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/trend-talk-tuesday-full-kitenge-outfit-for-men/ […]