2017 imekua all about prints chochote kinacho husu prints kina trend tumeona zilikuwa floral prints zikaja patches, hatukaa sawa kukawa na striped prints na sasa kinacho onekana kutrend zaidi ni gingham , watu maarufu, fashionista’s na fashion bloggers wameonekana kuvutiwa sana na trend hii. Inavalika vizuri kama uta pair na rangi nyingine lakini pia unaweza kuvaa zenyewe kwa zenyewe.
Unaweza kuvaa kama viatu kama fashion blogger Stella Uzo kutoka Jadore Fashion alivyo vivaa
Inawezekana ikavaliwa ofisini pia kama skirt, top au hata suruali wewe na uwezo wako wa kuistyle na kuonekana official
Ruffle ziko so in kwa sasa unaweza kuvaa trend on trend kwa kuvaa ruffle skirt yenye kitambaa cha gingham kama Stella hapo chini
Gingham top kama tulivyo sema hapo juu unaweza kuivaa vyovyote kama top, suruali,skirt gauni etc unaweza kuvaa kama Chic Ama hapo chini
Dwomoh-Piper Twins wakiwa wamevalia gingham trend off shoulder & ruffle top na denim shorts na gladiators giving us summer vibes
unaweza kuvaa trend hii kama gauni pia.
mmeipenda trend au hapana? tuambie kupitia account zetu katika mitandao ya kijamii
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…