2018 gave us a lot zile ambazo we could take na zile ambazo we said okay hapa mmevuka mipaka, 2018 gave us 80’s from spandex biker shots, beret, fanny packs, ugly dad sneakers to crazy denim trousers, clear bags and so many more, tunaelekea 2019 na tumeona tutaje zile ambazo tunahisi zipumzishwe mwaka ujao tuwe na vitu vipya.
- The Ugly Dad Sneakers
Kama ambavyo jina lake lipo basi na zenyewe ndivyo zilivyo these shoes are ugly, mwaka 2019 we don’t want to see ugliness on the streets. Uchumi umesha tuchosha na kutufanya tuonekane wabaya and yet uko hapo na hizo ugly dad sneakers kufanya siku nayo ionekane kuwa mbaya, the worst part ni hii R chuga style iliyo anzishwa, mtaani unakutana na kijana ana kiatu kibaya halafu kikubwa ” why though why”
The Ugly Sneakers Zinavyo Trend Kwa Sasa
- The Off White Industrial Belt
Enough is enough hizi belts zipumzike kama unayo please iweke kwenye kabati until “forever”, they were cute and all until everyone was wearing them tena wengine wakawa wanaharibu na kuzi-style vibaya can we leave them 2018? thank you.
Trend Talk Tuesday – The Extra Long Belt Trend
- Tiny Sun Glasses
Throw them back to the 90’s where they come from, Tiny Sunglasses zilikuwa zina trend miaka ya 90 na tunajua kwa sasa vitu vingi vya miaka hio vinarudi, seems like katika ambavyo vimebahatika na hii trend imebahatika, imefika kipindi tuziache zirudi zilipo toka imekuwa too much 2019 we need something new and fresh
- Weird Brows Trend
2018 ilikuwa na mambo mengi katika ulimwengu wa fashion & beauty, katika urembo sana ilitokea katika nyusi from the squiggle brows, fish tail brows, Christmas tree brows basi ali mradi kasheshe tunadhani mwaka 2019 tunahitaji proper brows ambazo mtu akikuaangalia ana stahajabu kwa uzuri wake na sio kwa vichekesho
Makeup Artist Wanakuletea Trend Mpya Ya Nsyusi Mkia Wa Samaki (Fish Tail Eye Brows)
Squiggle Brows Zimefika Tanzania Na Rosa Ree Hajataka Kupitwa
- Tactical Vest / Chest Coats
Just leave them in 2017 please
Spotted Diamond Platnumz, Rayvanny & Harmonize Wakiwa Wamevalia Vest Bag Trend
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…