Ruffles zipo so in kwa sasa (mwaka huu) kila Fashionista ame zivaa & tunaipenda hii trendy kwa sababu ipo classy & chic na kizuri ina patikakana katika namna tofauti ina weza ikawa ruffle skirt,shirt,blouse au dress yes kuna option ya kila mtu ni wewe na chaguo lako una taka kuvaa trendy hii vipi
Ruffle top/blouse/shirt – una weza kuvaa na skirt, suruali au pensi ni zuri kama haito kuwa too much ruffles go for simple look pia kwa sasa wengi wana vaa striped lakini una weza kuvaa any how unapenda
Ruffle Skirt – hizi zipo muda na ni nzuri kwa kazini zina ile chic look lakini pia una weza kuzifanya ziwe church ou wedding guest outfit
Ruffle Dresses – hapa una weza kuwa dramatic unavyo weza ili mradi tu husivuke mipaka, una weza ukavaa kama date outifit, wedding guest,etc
So far tunaipenda hii trend japo kuna Ruffle trouser hizi hatujazielewa lakini wenyewe wana zivaa zinaeleweka
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/trendy-talk-ruffles/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/trendy-talk-ruffles/ […]