Tarehe 21/8/2019 tulipata Miss Tanzania mpya, ambae alichukua taji kutoka kwa Miss 2018 Queen Elizabeth Makune. Sylivia Sebastian Bebwa hakuwa chaguo la wengi lakini hii haija mfanya azorore.
Kitu ambacho tumekiona na kukipenda kutoka kwake ni kwamba anaonekana sehemu nyingi, hii inampa nafasi ya kuendelea kuongelewa na wa-Tanzania kupata kumjua zaidi.
Lakini ambacho ni kikubwa ni kwamba anajenga confidence na kuchukua mazoezi ya kutembea ikiwa anakaribia kwenda kutuwakilisha katika miss World 2019, Sylvia tumemuona katika majukwaa ya fashion mbalimbali kama jama festival na Tanzania Fashion Festival

Mua @misanamakeup_ 📸 @mikemosbrand
.

Ni matumaini yetu tutaendelea kumuona kwenye matamasha mengine ambapo tunadhani yana mjenga na kujiamini lakini pia utembeaji wake
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tunapenda-tunacho-kiona-kutoka-kwa-miss-tanzania-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tunapenda-tunacho-kiona-kutoka-kwa-miss-tanzania-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tunapenda-tunacho-kiona-kutoka-kwa-miss-tanzania-2019/ […]