Kila tarehe 8 march Dunia huwa inasheherekea siku ya wanawake Duniani, wanawake wana deserve hii siku kwa maana huwa wanawekwa chini sababu tu ni mwanamke lakini ukitathmini kiundani zaidi utagundua sote wanawake kwa wanaume tunauwezo sawa, katika kufikiri, kufanya kazi, upendo na mengineyo,
Ikiwa wanawake wameanza kuamka na kujua umuhimu wao katika jamii tumeona tu share nanyi hizi slogan t-shirt ambazo fashionista’s mbalimbali wamezivaa za kutia moyo pamoja na kupiga sauti dunia itambue umuhimu wa wanawake
This dior t-shirt ilivaliwa sana na wanawake na celebrities mbalimbali ikiwa na maneno “we should all be feminist” , hapa ikiwa imevaliwa na style blogger kutoka Tanzania Jackie M FERNWEH
Hii nayo ime trend sana ni t-shirt iliyo andikwa ” The Future Is A female” nayo ikiwa imevaliwa na fashion blogger kutoka Tanzania aitwae Azure Kange
Mwanadada Chaba a.k.a kidsevents ameonekana akiwa amevalia slogan t-shirt iliyo andikwa “Strong As A Woman” yes women are strong
Fashion Blogger Stella Uzo akiwa ame rock t-shirt iliyo andikwa “Heels On Fire” women tend to close deals in heels na sio kitu rahisi kufanya.
The world has to know women are not perfect and they should take us the way we are.
tuambie slogan ipi imekuvutia sana? Happy Women’s Day From Us To You, Keep On Stay Strong & Slay Always.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tunasheherekea-siku-ya-wanawake-duniani-na-hizi-slogan-t-shirt-zilizo-valiwa-na-fashionista-mbalimbali/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tunasheherekea-siku-ya-wanawake-duniani-na-hizi-slogan-t-shirt-zilizo-valiwa-na-fashionista-mbalimbali/ […]