Fashion Industry ya Tanzania bado ina mengi ambayo yanaenda ndivyo sivyo, na tukiongelea fashion indusrty tunamaanisha industry nzima kuanzia models, stylist, designers, photographers na wengine wote wanaoingia katika category hii, leo tunaongelea kuhusu wabunifu hawa wa kwetu wa sasa kutoka Tanzania Je wanatengeneza kizazi gani cha wabunifu wa baadae?
Kwa sasa hivi ukiuliza mbunifu ndoto yako ni kuwa kama nani baadae, asilimia 70 watawataja wabunifu wa zamani, utasikia Mustafa Hassanali, Ally Rehmtulla,Martin Kadinda, Khadija Mwanamboka na wengine wengi, lakini swali linakuja Je kwa wabunifu ambao wanachipukia watataja hiki kizazi cha sasa cha wabunifu kama role models wao?
Inaweza ikawa zamani hakukuwa na technologia ya wengi kugundua fulani ameigia mshono au ubunifu na ndio maana wengi tulikuwa tunawaona wao kama hero’s wetu linapokuja swala la ubunifu lakini kwa sasa kila mtu ana smart phone kila mtu anajua huu mshono nilisha uona sehemu haiwezekani ikawa ni original design, lakini pia wabunifu wenyewe wanaoiga design za watu hawaoni aibu kutamka peupe mbele za watu kwamba wamecopy na wapo proud of it.
like seriously unajiita mbunifu lakini upo okay ku-copy kazi ya mtu na kutamka hadharani kwamba umefanya, haya wale ambao wanakuja wakiona kwamba wewe tu mkubwa umecopy na your okay with it basi yeye ni nani hata asumbue kichwa kwenye creativity? hapo ndipo wenzetu Nigeria na Nchi nyingine wanapo tuacha nyuma.
Lakini pia wabunifu kubagua watu wa kufanya nao kazi na kuchelewesha kazi za watu, hili ni jambo ambalo linalalamikiwa sana, kwa kuwa wanavalisha watu maarufu basi wengine wanadharaulika,
let’s say hao watu maarufu unawavalisha ili upate nini? kujulikana halafu ukisha julikana? upate wateja right? sasa kwanini wanapokuja wadharauliwe? Jiulize kwanza kwanini mteja kakuchagua wewe hata kama kaona mishono ya watu zaidi ya hamsini huko nyuma? kwamba amependa kazi na angependa kukusupport kitu kikubwa ambacho leo Mustafa kawa Mustafa, au Ally Rehmutulla, Sheria Ngowi na wengineo ni heshima katika kazi zao, wana nyenyekea wateja wabunifu wa sasa wamekosa heshima na kazi zao hii inatufanya tufikiri wajao watakuaje?
Inawezekana ikawa sawa kwenu kwa sababu kwa sasa nyinyi mpo kwenye indusrty mna hit lakini tuseme tu ukweli haya mambo yanabomoa industry kila siku inazidi kumomonyoka, wenzetu ambao walifanya effort hivi vitu visionekane kuwa uhuni wanaaibika sasa, wameanza na kujenga foundation nzuri kwa sababu ya kizazi kijacho lakini kizazi hiki walicho kijengea ndio wanawathibitishia wale ambao wanasema hii industry ni uhuni walikuwa hawajakosea, lakini pia haina haja ya kujiita mbunifu kama hujui ethic zake jiite tu mshonaji we will understand, kuna tofauti kubwa ya mbunifu na fundi juma mtaani ukiachana na kubuni mbunifu hawezi acha mteja wake asipate vazi lake kwa wakati, ni muda wa kuamka na kujifunza.
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tunatengeneza-aina-gani-ya-kizazi-cha-wabunifu-wa-baadae/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tunatengeneza-aina-gani-ya-kizazi-cha-wabunifu-wa-baadae/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tunatengeneza-aina-gani-ya-kizazi-cha-wabunifu-wa-baadae/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tunatengeneza-aina-gani-ya-kizazi-cha-wabunifu-wa-baadae/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tunatengeneza-aina-gani-ya-kizazi-cha-wabunifu-wa-baadae/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tunatengeneza-aina-gani-ya-kizazi-cha-wabunifu-wa-baadae/ […]