Pale jua linapo zama na our fellow party animals ndio kwanza tuna amka na kufikiria tuna vaa kwenda ku-party jibu ni simple two pieces outfit. Na kwanini ulale wakati hela ume itafuta mwenyewe eti tu kwa sababu hujui cha kuvaa, tupo apa kwa ajili yako
A Touch Of Shimmer – kwa ajili ya party look labda kama wedding party basi hili chaguo lako tosha, kama ni skirt au crop top iwe na ming’aro jaribu kuchukua rangi neutral, vaa accessories neutral nywele ziwe zime banwa vizuri then your good to go
Black on Black – hii ni choice nzuri always kama hauna uhakika na nini uvae go black, vaa a lace crop top na black skirt, pump heels au open heels, vaa nguo yako na minimum make up na silver au rose gold accessories
Kuwa Stylish – si lazima uvae rangi moja kisa tu ni two pieces outfit una weza kuchanganya rangi unavyo penda uka pendeza, achia nywele match viatu na clutch
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…