The Met Gala A.K.A “fashion’s biggest night out” imefanyika usiku wa Jumatatu ambapo theme ya event hii mwaka huu ilikuwa “Karl Lagerfeld: A Line of Beauty”na Dress code ni “In honor of Karl”. Kati ya watu maarufu waliohudhuria event hii alikuwepo Fashion Icon Rihana & she was fashionably late (lol).
As usual Rihanna amebeba taji la best dressed ambalo amekuwa akilichukua kwa miaka kadhaa sasa, anyways back to the event ya mwaka huu Rihanna alivaa gauni kutoka kwa mbunifu Maison Valentino na alisema alikuwa anam’channel bride of chanel.
Gauni hii ya Riri ilikuwa na kama hoodie ambayo transformation yake ikaja kuwa kama coat kavalia juu

Rihanna amesema kwamba kila ua lililokuwepo kwenye hii gauni limechukua masaa 30 kutengeneza, masaa 30 ni sawa na siku moja na masaa yake kadhaa, well tunaweza ku-imagine ilichukua siku ngapi na watengenezaji wangapi kumaliza coat hii. Rihanna amesema pia ame attend met gala sababu tu ameipenda gauni yake ( inawezekana tusingemuona mwaka huu isingekuwa kwa hii gauni)
Well Afromates tupe maoni yako kuhusu gauni hii je ina worth muda uliotumika kutengeneza?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…