Tume kuwa tukiona wanamitindo (models) wanaibuka kila siku na wengi wao hawaotendei haki hii Tasnia na pia huwa wana waharibia wenzao wanao upenda uanamitindo na kuuchukulia kama kazi, wengi hupiga picha zisizo na maadili kwa kisingizio cha uanamitindo hii ika tufanya tuchukue muda wetu kuwatafuta baadhi ya wanamitindo tunao wajua wako serious na kazi zao na kuwauliza wao wana lionaje hili? na haya ni majibu kutoka kwa mwanamitindo Macrida Joseph
Afroswagga- Je Modeling Ni Underestimated Job Kwa Hapa Nchini Kwetu Kama Ndio Kwanini Na Kama Sio Kwanini Watu Hawaiheshimu?
Macrida-Sababu zipo nyingi, na sababu hizo ndio zinazofanya tasnia hii idharahulike.
A) kukosa management nzuri, hatuna management zenye viwango
B) models kuto jua thamani ya kazi yao, Wengine wanafanya ili kujulikana na duo kipaji
C) kutokuwa na shule zinazo fundisha na kuboresha tasnia hii.
Tunadhani watu waanze kuheshimu kazi za watu maana Tasnia ina dharaulika na kuonekana ovyo sababu ya watu wachache tu wasio jitambua all in all Macrida kayaengea yote.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/uana-mitindo-ni-kazi-inayo-dharaurika-tanzania-macrida-joseph/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/uana-mitindo-ni-kazi-inayo-dharaurika-tanzania-macrida-joseph/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/uana-mitindo-ni-kazi-inayo-dharaurika-tanzania-macrida-joseph/ […]