Wakina mama wengi wa kiafrika huwa tunapata kigugumizi katika nini tuvae hata tukipata mialiko katika sherehe mbalimbali kulingana na hali zetu za ujauzito.
Naweza kusema wengi tunakumbana na mtihani huu kwasababu ya kuongezeka kwa ukubwa wa miili yetu, na kulingana na hali ya uchumi tunashindwa kwenda kufanya manunuzi ya nguo ambazo zitaendana na hali zetu hizo, Lakini pia desturi ambayo tumejengewa tangu vizazi na vizazi kuwa mama mjamzito lazima awe anavalia nguo pana kama vile tenite ili kutokibana kiumbe alichokibeba.
Lakini zama hizi zimepitwa na wakati, sina maana kwamba tuache kufata mila na desturi zetu, La hasha, ila tuchague basi zipi zinafaa kufatwa na zipi za kuachwa. Jamani dunia ya siku hizi ni mitindo, hivyo tubadilike, pindi utakapogundua kama una ujauzito pamoja na kufata taratibu za kwenda klinik pia tujijengee utaratibu wa kufanya matembezi katika maduka na kutafuta nguo ambazo tutakuwa tunazivaa katika msimu huo wa mpito.
Mfano mzuri baadhi ya watu wenye majina makubwa duniani kama Beyonce, Jennifer Lopez, Kim Kardashian wame thibitisha hili. Angalia Mwanadada huyu alivyokuwa akibadilika na kupendeza akiwa na ujauzito.
[URIS id=1224]
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/ujauzito-usiwe-kikwazo/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ujauzito-usiwe-kikwazo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ujauzito-usiwe-kikwazo/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 93370 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/ujauzito-usiwe-kikwazo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/ujauzito-usiwe-kikwazo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/ujauzito-usiwe-kikwazo/ […]