Tukiwa tunaelekea ukingoni wa mwaka 2017, well, rangi ya mwaka that is color of the year 2018 imetoka nayo ni ULTRA VIOLET 18-3838 ambayo ni rangi ya zambarau isiyokoza sana waweza kuiita hivi.
Wengi hujiuliza je rangi hizi za mwaka ni nani hasa huusika katika uteuzi wake? Wengine hufikiri ni Malkia Elizabeth II wa Uingereza ndiye muhusika. Lakini kumbe the color of the year toka mwaka 2000 imekuwa ikichaguliwa na the Pantone Color Institute. Ni kampuni kubwa duaniani inayodeal na global color trends yaani imejikita katika utafiti wa rangi katika tasnia ya fashion. Kampuni hii hutoa pia ushauri wa matumizi ya rangi, maana zake, saikolojia zake kwa wavaaji wa nguo za rangi Fulani na ubunifu na uchanganyaji wa rangi kwa makampuni na designers ndani ya tasnia ya urembo na fashion.
Rangi ya sasa iloteuliwa na Pantone inaelezewa kuwa ni rangi yenye kumaanisha upekee kwa kila mtu yenye kusimamia uhalisi, uelekevu na usawa kwa watu. Rangi yenye mfanano na anga za mbali katika sayari (galaxies) hivyo kumaanisha chochote chawezekana na yenye kutupeleka in the future.
Duaniani wasanii maarafu walokuwa wavaaji wa nguo za rangi hii pamoja na Prince na David Bowie wote waliofariki mwaka jana.
Prince
David Bowie
Wengi wanaona ni rangi ngumu kuvaa lakini it all comes down to the styling ya outfit yako. And here ni samples za how you can rock and style the color.
Tuambie nini maoni yako juu ya rangi hii ilochaguliwa. Tutumie kwa email ama kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii
IMEANDIKWA NA @willibard_jr
IG: @afroswagga
Twitter: @afroswagga
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/ultra-violet-18-3838-yatajwa-kuwa-rangi-ya-mwaka-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ultra-violet-18-3838-yatajwa-kuwa-rangi-ya-mwaka-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ultra-violet-18-3838-yatajwa-kuwa-rangi-ya-mwaka-2018/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 95141 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ultra-violet-18-3838-yatajwa-kuwa-rangi-ya-mwaka-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ultra-violet-18-3838-yatajwa-kuwa-rangi-ya-mwaka-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ultra-violet-18-3838-yatajwa-kuwa-rangi-ya-mwaka-2018/ […]