Ni Ijumaa nyingine, tena ni ijumaa nzuri ambayo ipo mwisho wa mwezi. Ikifika siku kama ya leo wengi tunakua tumeshajua tunaenda wapi kwa ajili ya mapumziko na kutuliza akili kwa uchovu wa juma zima. Lakini tatizo linakuja je nini uvae hii inaleta shida kwa wengi. Hakuna kitu kigumu kama uchaguzi wa mavazi hasa kama unaenda kwenye sehemu zenye watu wengi
nini una takiwa ufanye katika uchaguzi wa mavazi:
- siku zote chagua mavazi ambayo yata kufanya utembee kwa uhuru
- kama si mpenzi wa viatu virefu si lazima uvae (chagua boots na makobazi)
- kama ni mpenzi wa viatu virefu vaa ila angalia na mazingira unayo tembelea kama yanaruhusu
- crop top zipo kwenye chat sasa hivi uonekana wa kijanja zaidi kama utavaa (lakini kama mwili wako unaruhusu)
- Chagua Urembo kama mikufu au hereni zenye rangi za kuvutia zaidi
- Suruali za kiume au kaptula fupi nazo hazipo nyuma
- sketi na magauni mafupi yasiyo bana sana nayo yana karibishwa.
Kama ambavyo wote tunajua ni kipindi cho joto wengi wetu tunaenda senemu za ufukweni, kama utaenda ufukweni Ukivaa crop top, sketi fupi au kaptura fupi na viatu ambavyo havina mchuchumio utanoga zaidi. bila kusahau urembo kama kofia,mawani na mkoba ambao utabebea vipodozi vyako.
kama utaenda kwenye sehemu za densi,disco gauni zisizo bana viatu vya chini pamoja na urembo.
kama utatoka tu na marafiki kwenda kufanya manunuzi madogo madogo, basi hili ni chaguo sahihi jeans, blauzi zisizo na joto sana na zenye rangi za mvuto na viatu visivyo na mchuchumio
kama utatoka na mpenzi usiku kula chakula cha usiku au marafiki kwenda sehemu kupata vinywaji hutokosea ukivaa hivi
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/utoke-vipi/ […]