Ndio kwanza tunaanza mwezi wa pili, A.K.A mwezi wa upendo au mwezi wa nyekundu, well we all know tarehe 14 mwezi wa pili ni valentines day, siku ya wapendanao na kwa kuonyesha upendo huo wengi huwa wanavaa rangi nyekundu au kuweka baadhi ya urembo wenye rangi hio katika mionekano yao, katika pitapita zetu huko Instagram tumekutana na mionekano hii ambayo sisi tumeona kama wameanza valentines mapema
Tumemuona mwanamuziki Avril kutoka Kenya akiwa in this red assemble, red jacket, ambayo alivalia na black belt, chini amevaa na short biker shorts na kumalizia muonekano wake na thigh high boots, kwenye accessories amevaa red dropped statement earrings na up hair do, lets say Avril slay this bloody look
Mutha of them All Queen Bey tumemuona in all red number, red blazer dress akiwa amevalia na matching boots, huku akiwa amemalizia muonekano wake na channel small bag na middle part hair style, they don’t call her Queen for nothing.
Kutoka Tanzania mwanamuziki Juma Jux nae hakuwa nyuma katika kuukaribisha mwezi wa pili na red attire, ambapo yeye ametupa red vest, red trouser na black kicks huku akiwa amecomplete muonekano wake na accessories kama chain, earrings na ting glasses
Well #afromates we will keep updating you on what to wear on this season.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…