Sote tunajua tarehe 14 mwezi wa pili ni siku ya wapendao, watu wengi wawe maarufu au wenzetu na sie huwa wanatoka na wapendwa wao kusheherekea siku hii, well jana tulipatta kuona celebrities wetu waki-enjoy hii siku huku wakiwa wamevalia mavazi safi kabisa ya kuendana na siku yenyewe, baadhi ya ambayo tuliyapenda ni haya
video vixen ambae sasa ni Model Irene Louis yeye alionekana in this gorgeous red dress, so elegant yet sexy amemalizia muonekano wake na gold accessories na short curl hair style, we love this look from head to toe, and red is her color imemfanya a-pop, and the makeup is delicious we are digging this look.
Mwanamuziki Karen na yeye alionekana akiwa kwenye hii one shoulder red dress yenye details za ruffle kidogo,we love the dress imem-fit well na mwili wake tunatamani kungekuwa na effort kwenye nywele but she did good.
Fashionista kutoka Nigeria Angel Obasi yeye alitupa a slit skirt look with a white tee huku akiwa amemalizia muonekano wake na sleek hair, black mini bag na black pumps tumependa namna ambavyo amechagua kitu cha tofauti.
Modesty fashionista Hamdeeya Hameed yeye alituonyesha namna unavyo weza kuenjoy valentine yako ukiwa umejistiri kwa kuvaa hii head to toe red outfit akiwa amemalizia muonekano wake na matrix sun glasses na red clutch, slay baby slay
Mwanamitindo Jacqueline Mengi yeye ali color block with pink & red, we love this look as we all know pink is ladies color and red ni rangi ya upendo we think on creativity Jacqueline outfit won our heart.
Well afro mates outfit ipi imekuvutia zaidi kati ya hizi?
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/valentines-worthy-looks-from-the-gram/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/valentines-worthy-looks-from-the-gram/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 70020 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/valentines-worthy-looks-from-the-gram/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 3106 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/valentines-worthy-looks-from-the-gram/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/valentines-worthy-looks-from-the-gram/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/valentines-worthy-looks-from-the-gram/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 10845 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/valentines-worthy-looks-from-the-gram/ […]