Vanessa ambae watu wengi walimmiss katika jukwaa la Fiesta ame onekana kurudi baada ya kupanda katika jukwaa la Fiesta Mororgoro, kwa wengine wana weza kum- judge kwa performance zake jukwaani lakini kwetu sisi tunaongelea mavazi.
Tunajua kwamba Vanessa yuko vizuri mno katika mitindo na safari hii nae ame onekana kuvalishwa na Kiki Zimba mpaka sasa,
Kwa mara ya kwanza Vee alionekana katika Denim Romper ambayo kiki aliiongezea na mikono ya tarumbeta haikua ime onganika na hio romper kama uonavyo hapo kwenye picha, alivalishwa na thigh – high boots in which zipo katika trend kwa sasa, haukua muonekano wa kushtusha sana lakini pia hauku bore kawaida
Muonekano wa pili ilikua gauni fupi nyeusi, flat boots na stockens, the dress si mbaya lakini inge kuwa vizuri kama ange ivaa kwenye date hivi na heels, the boots sio mbaya sio nzuri japo bado hatuja ona maana ya hizo socks, pia make up haikuwa nzuri Vanessa kaonekana na rangi mbili but bado Fiesta haija isha bado kuna wakati wa kuendelea kubadilika
Kama una maoni kuhusu muonekano huu tutafute kupitia
Facebook – Afroswaggamag
Instagram – Afroswagga
Twitter – Afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…