Vanessa is now mom of two, congratulations kwake na mumewe mwanamuzi Rotimi, well Vaness ana week kadhaa toka ajifungue na tunaweza kusema sis looks good, mwili wake upo vizuri ameongezeka lakini si sana.
Wengi wameonekana kusifia namna ameweza ku-bounce back baada ya kujifungua back to back, huku wengine wakijitoa kasoro kwamba wao wameshindwa kurudi katika miili yao baada ya kujifungua.
Well tungependa kuwakumbusha kwamba kwanza Vee ni mwembamba ni moja kati ya wale watu wana mwili mdogo kiasili, hajawahi kuwa mnene, tuseme hii ni mara ya kwanza kumuona Vee amegain hivi pretty sure yeye mwenyewe anajiona kibonge wakati sisi tunamuona kawaida. Kwaio kama wewe mwili wako wa asili ni mnene usijifananishe na Vee.
Kunyonyesha inavyosemakana ukinyonyesha mwanao basi una burn calories, hivyo kama umejifungua na bado una nyonyesha jitahidi usimuachishe mtoto nyonyo mapema ili apunguze hizo mafuta mwilini.
Vee hanywi mitori, kwetu ukijifungua ni mwendo wa mitori, mavyakula yenye kunenepesha tofauti na ukiwa kwa wenzetu, tunauhakika Vee hata kama anainywa mitori basi ni mara chache sio kila siku, incase unamtoto mchanga au mjamzito weka hili kichwani kama inawezekana ukapunguza au ukinywa ujitahidi na kufanya mazoezi.
Fanya Mazoezi, wakina mama tunajua tunachoka baada ya kujifungua, jipe muda kama week au week mbili kupumzika baada ya hapo jitahidi kufanya mazoezi madogo madogo sio tu yatakufanya mwili upungue bali pia kurudisha mwili katika hali yake ya kawaida, kukufanya muscles zikaze na kuwa na nguvu, mazoezi yanakupa enery, utalala vizuri lakini pia kukusaidia kupunguza stress.
Well usiwaze sana kuhusu mwili pia furahi umepata bundle of joy.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…