Week imeaisha na tumeanza week mpya, lakini weekend iliyopita ilikuwa na matukio mengimengi yaliyo husisha watu maarufu na fashion & style, Well tukio kubwa lilifanyika jumamosi ambapo kulikuwa na One Africa Music Fest hii hufanyika kila mwaka na lengo kubwa ni ku – promote African music, create awareness, stimulate demand, develop audiences and promote sustainability for African music globally.
Lilifanyika London The SSE Arena, Wembley. Katika wasanii wengi tuliwakilishwa na wasanii wawili ambao ni Vanessa Mdee ( Vee Money) na Diamond Platnumz, Jicho letu lilikuwa kwenye wamevaa nini? Now Let’s Do The Judging
Vanessa Went Beyonce on us kwa kuvaa body suit nyekundu iliyo buniwa na mbunifu Elisha Red Label, Body suit ilikuwa ina glitter na one side tail, Kwetu sisi tumependa this look so much, body suit ime m-fit well imeendana na tukio its a music festival alitakiwa kuwa comfortable ku-move lakini pia hakutakiwa kuwa na nguo nyingi as she needed air.
Lakini pia ame debuty a new hair do, wavey weave yenye rangi nyeusi na kijani, hair done by americanhair_tz na makeup ilitulia pia
Haya turudi kwa kaka Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz, Diamond alivaa stripes trouser, graphic t-shirt na denim coat, we love this outfit pia ina festival feeling, colorful & fun amemaliza muonekano wake na miwani, mikufu, saa, pete na hereni.
Tupe maoni yako wewe muonekano wa nani umekuvutia zaidi kati ya Diamond na Vanessa na kwanini?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vanessa-mdee-na-diamond-outfits-katika-one-africa-music-fest/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vanessa-mdee-na-diamond-outfits-katika-one-africa-music-fest/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vanessa-mdee-na-diamond-outfits-katika-one-africa-music-fest/ […]