Ukiongelea msanii ambae ni kinyonga linapokuja swala la fashion basi lazima umtaje Vanessa Mdee, she always have something catchy kwenye outfit zake, inaweza kuwa kiatu, accessories, hair style au hata style za outfit zake, she just gets it. Mara nyingi huwa tunaongelea kuhusu mionekano ya wasanii, jinsi ambavyo unajiweka ndivyo ambavyo makampuni na wadau watakuchukulia.
Vanessa Mdee kachukua deal na FashionNova Curve mwaka huu kama ambassador wao, brand ambayo inafanya kazi na wasanii wakubwa kama Cardi B, Kylie Jenner, Black Chyna na wengine wengi, na hii ni kutokana na anavyo jiweka. Body yake nzuri, ukiangalia style sense yake ipo vizuri pia kupewa u-ambassador na brand hii ni jambo ambalo tunaweza kusema ni jambo ambalo halishtui of course lazima waende kwa Vee she does it like no other.
Well week hii, hii outfit yake imeshinda best dressed outfit of the week kwetu, tumependa the way amemix prints, rangi za kwenye hii outfit accessories & hair perfecto.
We are looking forward to see more looks from her lakini pia we hope she gets more deals za kuwa ambassador wa brand za fashion ili na wengine waweze kujifunza kutoka kwake.
Well tuambie unauonaje muonekano huu wa Vee?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vanessa-mdee-wins-best-dressed-outfit-of-the-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vanessa-mdee-wins-best-dressed-outfit-of-the-week/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 28566 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vanessa-mdee-wins-best-dressed-outfit-of-the-week/ […]