Jana Uganda wamepata Miss Uganda ambae ataenda kuiwakilisha Nchi yao katika Miss World huko Nchini China, moja kati ya majaji waliokuwepo katika kujudge mamiss hao ni Zarina Hassan A.K.A Zari The Bossy Lady, Kama kawaida wengitulikua tunasubiri kuona atavaa nini?ย kinyume na matarajio yatulio wengiย Vazi La Zari The Boss Lady likazua maswali ambapo wengine walisema ni sawa yeye kuvaa vile na wengine wakisema hapana si sawa. Basi tukaona si sawa liishie hivi hivi na utata na sisi tutoe maoni yetu
Wengi wamejiuliza kama si sawa kwa judge kuvaa hivi, yaani kama amekuwa too much na kuwa out shine mamiss cha kwanza kabisa inabidi tujue Zari ilibidi apendeze kwasababu ukiachana na event yeye alikuwa center of attention kila mtu jicho lilikua kwake angevaa kawaida pia angeongelewa she chose the go big or go home statement and she decide to go big,
Lakini pia hamna rules za judge avae nini, kama miss inabidi ujiandae vilivyo ili judge kama Zari asionekane uonekane wewe, waliosema vazi alikuwa mahala pake kumbukeni hii ni Miss Uganda si Miss Kitongoji na kulikuwa na red carpet she did good kwa maoni yetu.
Tumependa rangi ya gauni, japo muundo wake kifuani hakuwa our cup of tea haija fit vizuri kifua kime hang hang tu hakijakaa vyema, the updo is what we been shouting everyday tunashukuru hapa ametuonyesha anaweza kubana nywele, makeup & accessories on point.
kama una maoni yoyote tuandikie hapo chini
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda seโฆ https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vazi-la-zari-the-boss-lady-lazua-maswali/ […]