Kuna wakati una weza kumuangalia Fashion blogger na mitoko yake ukasema wow lakini i have seen that before na una move on, lakini kuna ile mitoko unaiona kwa fashiob bloggers una sema WOW na haikutoki kichwani, hii ndio iliyo tupata baada ya kumuona fashion blogger casseybassey akiwa ame tupia mitoko yake na tukasema WOW na mpaka sasa haija tutoka kichwani
hii outfit ni palazzo trouser yenye 3D reses flower ambayo imekuja na top yake ya cold shoulders, ime mpendeza kiasi ambacho huchoki kumuangalia,
tumependa jinsi ame pull hii outfit ikiwa there is so much going on na outfit yenyewe, ame jaribu kuipa a calm feeling kwa simple make up, simple hairstyle na plain accessories.
Orange & Burgundy Velvet Outfit, this is actually personal favorite, jinsi ambavyo ame pangilia rangi, accessories is just perfect.
Love how ame vaa trendy on trendy, the wide legs bado zipo kwenye trendy na off shoulder are still trending. Tumependa metallic choker aliyo match na belt na hiko ki clutch the ehole package is Perfect.
Kama ume penda mitoko ya cassey unaweza ku click hapa kuipata blog yake
Na kama una lolote unalo taka kutuambia husisite kuwasiliana nasi kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Lakini pia kama haitoshi una weza kutuandikia maoni yako hapo chini katika box la comment
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…