Victoria Beckham Mke wa aliye kuwa mcheza soka David Robert Joseph Beckham. Victoria alianza kama mwanamziki katika kundi la spice girls lakini kwa sasa ana jihusisha na ubunifu. Victoria ame onekana kuvutiwa na kupenda kuvaa viatu vyake hivi as si kitu rahisi kumuona mtu maarufu ana rudia kitu lakini Victoria uzalendo ume mshinda na kutokana na mapenzi yake kwa viatu hivi ame rudia mara mbili
ambapo mara ya kwanza kuonekana navyo ni pale alipo kuwa AIRPOrt ya JFK akiwa anaenda NYC kwa ajili ya shopping
Victoria alivaa viatu hivyo vyeupe vyenye muundo wa boot na kisigino cha silver na Gauni lenye mistari ya blue na nyeupe huku akiwa ame bebelea pochi lenye manyoya la brown na kumalizia muonekano wake na miwani
wakati mara ya pili Victoria Beckham alionekana akiwa ana ondoka katika jengo la Edition hotel in New York akiwa amevalia viatu hivyo hivyo na gauni la rangi ya mustard/brown alilo valia shati jekundu ndani na kumalizia muonekano wake na miwani pia
kama una kipenda kirudie usijali nani ata sema nini
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…