Ni msimu wa mvua kwa wenzetu kipindi kama hiki ana safisha kabati lake na kuleta mavazi ambayo yanaendana na season, well kwa hapa kwetu season ni mbili ama tatu inategemea na mwaka, kuna miaka mingine mvua hakuna kabisa au zinachelewa kuanza tofauti na huko duniani (lol), mwaka huu tumebarikiwa mvua inanyesha hasa inawezekana hukuitagemea ( kama sisi), lakini kuna vitu baadhi lazima uwe navyo kwenye kabati lako ambavyo unaweza kuvitumia msimu huu.
- Achana na heels na vaa flats more – huwezi kutembelea viatu virefu na hii mvua kuna sehemu utahitaji kuruka, kukimbia lakini pia na haya matope na heels inawezekana kweli? nope unless uwe una tembele four wheels lakini kama kazi zako nyingi ni za kutembea kwa mguu basi pumzisha viatu virefu kwanza
- Mwamvuli au mfuko wa rambo – kama kuna kitu ambacho wanawake wana kiheshimu na kukitunza ni nywele zao, wapo radhi kulowa mwili lakini si nywele, mfuko ndipo unapo tokea hapo lakini ni vyema zaidi ukabeba mwavuli ili ukukinge na mvua na mavazi yako pia.
- Long Coats – huu ndio ule muda wa kutoa long coats zetu na kutamba nazo mjini, zi style vizuri na angalia urefu wake usije kuzoa tope barabarani.
Kujua vitu gani vya urembo ambavyo hutakiwi kukosa kuwa navyo msimu huu soma hapa
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-3-vya-kuzingatia-msimu-huu-wa-mvua/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-3-vya-kuzingatia-msimu-huu-wa-mvua/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-3-vya-kuzingatia-msimu-huu-wa-mvua/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 67865 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-3-vya-kuzingatia-msimu-huu-wa-mvua/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 29324 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-3-vya-kuzingatia-msimu-huu-wa-mvua/ […]