Huitaji nguvu nyingi kwenye mavazi kuonekana stylish, wengi wetu huwa tunadhani kuonekana stylish basi tuvae vitu vingii, au tuvae trend outfits kumbe unahitaji kujua vitu hivi vinne ambavyo vinaweza kufanya muonekano wako hata kama ni simple kuonekana stylish.
- Lipstick
Lipstick inaweza kuubeba muonekano wako kwa kiasi kikubwa sana iwe bold au simple inaleta mvuto katika uso wako lakini pia kunogesha muonekano, hata kama si mpenzi wa lipstick paka lipbalm kufanya midomo yako ivutie.
- Statement Shoes
Iwe heels au flats haijalishi hakikisha ni visafi na vina catchy eyes iwe kwa muundo au rangi, viatu vikiwa vya hovyo basi uharibu muonekano mzima. Hakikisha sio tu viatu vizuri bali pia ni visafi.



- Add Layer To Your Look
Tuliongelea kuhusu the 4th piece hii ni extra piece ambayo wengi wetu huwa hatudhani kama ni muhimu, na hapa ndipo ma-stylish wengi wanapotuacha nyuma ambapo wao huwa wana cha ziada yaani mfano blazer, jacket, denim coat, kimono etc.
Vipande Vinavyo Kamilisha Muonekano
- Vaa Accessory
Iwe saa. mkanda, handbag, hereni, mkufu, bangili, miwani etc chochote ambacho kinaendana na muonekano wako na mahali ambapo unaenda kitasaidia kunyanyua muonekano wako na kufanya uonekane stylish
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-4-vinavyoweza-kusaidia-muonekano-wako-kuwa-stylish/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-4-vinavyoweza-kusaidia-muonekano-wako-kuwa-stylish/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-4-vinavyoweza-kusaidia-muonekano-wako-kuwa-stylish/ […]