Unaweza kuvaa vitu expensive au hata vya bei rahisi ukapendeza, lakini kuna vitu ambavyo ukivivaa au ukavifanya hata kama ukiwa umevaa vazi la mamilioni bado unaonekana cheap. Yes na wengi wetu huwa tunajisahau na kufanya haya makosa.
- Nywele mbaya
Nywele zinaweza kufanya muonekano wako kutoka kwenye 100 kurudi kwenye 30, ni moja kati ya essentials ambazo unatakiwa kuziwekea umakini sana. Kama ni mpenzi wa nywele za bandia basi hakikisha unanunua zenye quality nzuri, ambazo unaweza kuzisafisha na ku-style mara nyingi uwezavyo kama ni mpenzi wa nywele zako mwenyewe basi jaribu kuwa unaziosha mara kwa mara unasuka na kuzi-style vyema.
- Kuvaa rubber band mkononi
Kuna rubber band na culture hizi huwa zinashusha sana muonekano, kwenye rubber band kama umezitoa kwenye nywele hakikisha unaweka kwenye handbag usivae mkononi na swala la culture tunadhani unaweza kuvaa a good bracelet ukapendeza.

- Manukato
Kuna kunukia kupitiliza huku kunaweza kuharibu muonekano wako, lakini pia kuna kunukia vibaya napo panaharibu muonekano. Hakikisha unaoga vyema, kuwa na perfume yako ambayo inakufanya unukie kama rich au expensive person that you are. Kumbuka kuvaa nguo za ndani ambazo ni safi pia.
- Rangi za kucha zilizo banduka
Unapaka rangi inaanza kubanduka bado unaendelea kukaa nayo, hata uvae nguo za mamilioni kama una chipped nails zinaharibu kabisa muonekano, hakikisha kama rangi ya kucha imeanza kutoka unaitoa yote na kupaka nyingine au kuwa na natural nails zako ambazo umezisafisha vyema
- Viatu
Invest in shoes, we repeat invest in shoes yaani kiatu ni number moja kwenye swala zima la kuharibu muonekano, unaweza kuvaa simple outfit ukavaa na kiatu kizuri kikabeba muonekano mzima na unaweza kuvaa outfit nzuri ukavaa na kiatu kibaya kikashusha muonekano from 100 to 0. Nunua viatu vyenye quality, rangi na design nzuri.
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-5-vinavyofanya-muonekano-wako-uonekane-cheap/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-5-vinavyofanya-muonekano-wako-uonekane-cheap/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-5-vinavyofanya-muonekano-wako-uonekane-cheap/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-5-vinavyofanya-muonekano-wako-uonekane-cheap/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-5-vinavyofanya-muonekano-wako-uonekane-cheap/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-5-vinavyofanya-muonekano-wako-uonekane-cheap/ […]