Twaonana na wakaka mbalimbali lakini waweza kuta kapendeza kote ila kuna kimoja kakosea na kuufanya muonekano wake kutopata asilimia zote 100. So kwa maeneo haya machache, yataboresha muonekano wako. Iwe ni full kupendeza na kutokelezea mchizi wangu.
NDEVU
Wakaka wengi hufuga ndevu lakini kwa baadhi yao hugeuka kichaka. Kwa apendaye ndevu, hakikisha unaziweka katika hali ya usafi na size inayofaa. Too much inachukiza na huondoa mvuto wako. So hakikisha utokapo out zinachanwa na kupendeza.
SOCKS NA MIKANDA
Japo weaweza vipuuzia lakini bro hivi pia ni muhimu katika kuukamilisha muonekano wako. Kwa suruali itakao uvae mkanda basi nunua hata mmpoja wa ngozi safi ili uweze kuwa nadhifu. Na socks, hapa tungekagua wengi tungejionea maajabu. Socks ikichanika achana nayo plus nunua cotton socks za ranfi mablimbali ili kunogesha muonekano wako. Zipo maalum pia kwa ajili ya mazoezi so zingatia hili.
NYWELE
Kuwa na haircut pale unapoona nywele zako zipo katika size usiyoitaka. Usisubiri mpaka utazamwe kila kona ndio ushtuke. Plus a nice haircut hata uhandsome unaongezeka maze. So tunza nywele zako.
VIATU
Hakikisha una pair mbili tatu kuepusha kutumia kiatu cha mahala pasipofaa. Kuna viatu kwa ajili ya ofisnini, mazoezini, mitoko ya jioni, beach na maeneo mengine ambapo waweza vaa sneakers ama sandals za aina yoyote. Pia ni vizuri kumiliki open shoes ama sandals ili kuweza kuiacha miguu yako ipumue toka kuvaa viatu vya kufunika muda mwingi.
ACCESSORIES KAMA SAA NA WALLET.
Aisee, baadhi huva saa mbovu, zilizopauka ili mardi aonekane amevaa saa. Hii haifai. Nunua mpya nzuri au rekebisha. Hihitaji iwe ya gharama sana ila muonekano wako utapendeza. Na wallets bro, iwe nzuri ati sio unakuwa washindwa hata itoa mbele ya watu kisa yafanana kama aliraruriwa nap aka. Jipende bro!
PICHA
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-basic-vya-kuzingatia-kwa-wakaka-katika-mionekano-yao/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 4847 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-basic-vya-kuzingatia-kwa-wakaka-katika-mionekano-yao/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-basic-vya-kuzingatia-kwa-wakaka-katika-mionekano-yao/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-basic-vya-kuzingatia-kwa-wakaka-katika-mionekano-yao/ […]