Jokate amekuwa mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, lets say Jokate ni moja ya wanadada ambao wana prove you can do it all kama umeweka nia, alianza na u-miss, akawa model, mwanamuziki, muigizaji, mjasiriamali na vingine vingi, sasa ameamia kwenye siasa, Well done Jokate you real are a inspiration. Leo tunakuletea Vitu Vya Kutarajia Kutoka Katika Style Za Jokate Baada Ya Kupata Cheo Kipya
Baada ya Jokate kuchukua cheo hiki ameonekana ku-delete post zake zote katika kurasa wake wa Instagram ( starting fresh) kitu ambacho ni sawa kufanya kutokana na kwamba hiki cheo kinahitaji uonekane more powerful kuliko kule ambapo amepita, well jambo moja muhimu ambalo Jokate atalifanya katika muonekano wake mpya ni kubadilisha ule muoenekano na kuwa more “powerful” kuwa presentable zaidi na kuacha zile style za bongo movies.
- Signature look
Hata kabla ya kuwa Mkuu wa Wilaya Jokate alisha anza kubadilisha muonekano wake, alianza kuvaa hizi dress fupi, well nicely done & colorful akiingia unajua kabisa huyu ni mtu fulani hili eneo, but again alikuwa anavaa suit’s nzuri so kitu cha kwanza ambacho Jokate amefanyia kazi ni kuwa na signature look. Kama ukiwaangalia wanawake wengi waliopo katika siasa au wake wa wanasiasa hasa huko kwa wenzetu wana signature na powerful look eg Melania Trump & Michelle Obama.
- Msisitizo katika Ubora ( Emphasis On Quality)
Kama mwanzo Jokate alikuwa anavaa tu kitu alimradi kitu sasa hivi itakuwa tofauti atakuwa anaangalia sana katika ubora wa mavazi anayo yavaa, well this is a must kwa watu ambao wana power katika jamii, ndio maana ukiangalia wabunge, mawaziri wengi huwa wanavalishwa na wabunifu wakubwa ambao wapo vizuri katika kazi zao. Lakini ukiachana na kuvaa yanayo shonwa na wabunifu pia hununua mavazi na kuyatengeneza kuwa bora kuwa tosha kulingana na hadhi yao, lets say Jokate alishaanza kutupa hints
- Rangi Za Giza ( Darker Color)
There is something about darker colors that say power, kama ukiangalia ma rais, wabunge mawaziri wengi huwa wanavalia mavazi ambayo hayana rangi za ku-shout wengi huvalia dark blue, black au deep gray, kama ambavyo tulimuona Jokate akiwa anaenda kuapishwa alivalia suit nyeusi kutoka kwa mbunifu Kitupe lakini pia katika sherehe ya mtoto wa Zamaradi Jokate aliattend akiwa amevalia dark blue outfit ( she takes notes and a quick learner)
- Kuwa wa tofauti / ongezea rangi katika outfit yako ( color contrast)
Unaweza kuvaa vazi ambalo lina rangi ambazo ni nyeusi, ukaongezea na accessories, kiatu au koti la rangi,that contrasts is giving us power hivi karibuni Jokate alionekana akiwa amevalia suruali nyeusi na blouse nyeupe akaongezea na pink blazer (power)
Hivi ni vile ambavyo sisi tumeviona na kujaribu kuchunguza kutokana na uelewa wetu katika mitindo, unaweza kutumia tips hizi hata kama hauna cheo kikubwa sehemu fulani, kama ungependa kuonekana more powerful kazini kwenu, katika familia etc then tumia hizo tips.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-vya-kutarajia-kutoka-katika-style-za-jokate-baada-ya-kupata-cheo-kipya/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/vitu-vya-kutarajia-kutoka-katika-style-za-jokate-baada-ya-kupata-cheo-kipya/ […]