2017 tulijionea wabunifu wengi wa mavazi ya kiume wakiibuka na hakika twafurahia kuona mapinduzi haya yakiendelea katika kuboresha men’s fashion industry in Tanzania. Wamekuwepo wakongwe waliozoeleka kama akina Martin Kadinda, Ally Remtullah na Sheria Ngowi lakini leo twakuletea chipukizi ama upcoming men’s wear designers wanaokuja kwa kasi na wakuangaliwa katika mwaka huu wa 2018.
Safari yake ya ubunifu ilianza kitambo kidogo lakini miaka ya karibuni amejizolea umaarufu mkubwa kwa kazi zake. Amekuwa akimvalisha mchekeshaji na muigizaji Idris Sultan pamoja na watu wengine maarufu nchini na na kwa hakika suits zake ni za kipekee.
Pia mwaka 2017 aliweza kulaunch brand yake ya viatu vya Mtani Bespoke ambavyo pia ni imara na venye kuvutia
Hakika ni mbunifu ambaye twategemea kuona makubwa zaidi kwa mwaka huu wa 2018 akivuka mipaka ya Tanzania.
Ni graduate wa sheria mabaye amejikita pia katika ubunifu wa mavazi ambapo suits zake hasa kwa graduates wengi zimeonesha kuvutia wengi. Pia Dominik hubuni majoho kwa ajili ya wanasheria wamalizao law school hivyo one can get a customized gown aipendayo.
Kilichotuvutia pia ni mashati yake, ni mazuri sana.
Walijizolea ummarufu baada ya kuanza kumvalisha msanii Dogo Janja na kwa hakika tulipenda mionekano mipya mbalimbali ya Dogo Janja ndani ya J J Tailors. Pia wameweza kujipanua na kuongeza ubunifu wa African Prints. Kwa wakaka hivyo mwenye kupenda kurock African prints kwa wakaka hata iwe ofisini, they are the guys.
Ni brand iliyotuvutia na kuwateka wengi kwa suti zake kali. Pia wasanii wa kundi la WEUSI tuliwaona wakivalia brand hii na hakika walirock.
Pia tulifurahishwa na ubunifu katika uchaguzi wa rangi maana waliweza kuplay na rangi mablimbali. Hopefully, 2018 tunaona vikubwa zaidi kutoka kwao
Frank ni mbunifu toka Arusha lakini anayekuja kwa kasi katika ubunifu wa mavazi ya kiume. 2017 aliweza kuwavalisha wasanii Izzo Bizness na G Nako na hapo kujipatia umaarufu wa kazi zake.
Hivyo twatari kujione avikubwa vingi kutoka kwake.
Imaendikwa na @willibard_jr
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wabunifu-wa-kiume-wanaokuja-kwa-kasi-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wabunifu-wa-kiume-wanaokuja-kwa-kasi-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/wabunifu-wa-kiume-wanaokuja-kwa-kasi-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wabunifu-wa-kiume-wanaokuja-kwa-kasi-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/wabunifu-wa-kiume-wanaokuja-kwa-kasi-2018/ […]