SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

WABUNIFU WANAO CHIPUKIA WA TANO  WA KUWAANGALIA 2016
Mitindo

WABUNIFU WANAO CHIPUKIA WA TANO WA KUWAANGALIA 2016 

Ukiwa mwaka ndio unaelekea kuisha imetubidi tupitie vipengele mbalimbali vya mitindo, leo tumepitia kwa wabunifu wanao chipukia na ambao tunadhani wakiendelea hivi mwaka 2016 wanaweza kufanya mwakubwa katika ulimwengu huu. Wapo wengi na inawezekana wengine hatuja waona ila kati ya wengi tulio waona hawa wame tuvutia zaidi kutokana na kazi zao na hasa ni kwamba bado hawajatoka je? wakitoka watafanya makubwa kiasi gani

Lilian Ndanshau au @liliandanshau

lilian3

Kazi yake ya kwanza kuiona ilikua scetch/mchoro wa kazi yake alio kuwa kauchora kwa ajili ya shindano la Fasdo ikabidi tumtafute na tuone ni nini hasa ana fanya, Lily ukiachana na ule mchoro tu kutuvutia baada ya kutembelea ukurasa wake tukagundua ana kipaji cha aina yake hasa kwenye umaridadi wa mitindo yake ana pangilia rangi na ni msafi kazi yake huwezi kuamini kama ni msichana mdogo tu.

lilian lilian1 lilian2

Yvette Nicole Nkhoma au @two_in_one_accessories

yvette.0jpg

Yvette ana tengeneza vito/urembo wa aina mbalimbali mara ya kwanza kumuona hatukudhani kama ni mtanzania lakini baadae tuka gundua ni mtanzania na ni msichana ambae anajua nini ana fanya na hafanyi kitu kwa sababu tu ana fanya ila hufanya kile anacho fanya kwa uhakika

yvette.4jpg yvette yvette1 yvette2 yvette3

Mgombelwa au @mgombelwabrand

index

Ni kijana mdogo kutoka morogoro ambae ana buni mavazi ya kiume mara ya kwanza kumuona ilikua katika sanaa fashion show ambapo tuli tabiri hata ishia hapo na kweli tukaja kumuona pia peroni Tanzania fashion nite lakini pia tuna tabiri hata ishia hapa na jicho letu lipo kwake mwaka 2016

mgombelwa.1jpg mgombelwa mgombelwa0Florinya au @frolinyadesigns

florinya5

Ni mdada mwenye kipaji cha pekee yeye hutumia uzi wa kushonea vitambaa vya nyumbani kushonea urembo kama herene,mikufu hata vivazi vya watoto. Florinya ana fanya kazi nzuri mno na ina vutia hasa machoni kwa watu pia tunahisi mwaka 2016 ana fanya makubwa zaidi

florinya florinya2 florinya3

Manyatta au @manyatta_101

manyatta.1jpg

Manyatta wana fanya urembo pia nao tuna hisi 2016 wata fanya makubwa zaidi

manyatta.0jpg manyatta.2jpg manyatta

 

Related posts

Leave a Reply